Watumishi Mahakama kuu kanda ya Dodoma washerehekea wiki ya Sheria kwa kufanya Bonanza la Michezo.

Na Barnabas kisengi, Dodoma.January 30 2021 Mahakama kuu kanda ya Dodoma imeadhimisha siku ya sheria na miaka Mia moja tangu ianzishwe kwa kufanya bonanza la michezo mbalimbali katika uwanja wa jamuhuri kuelekea kilele cha siku ya sharia na miaka mia moja ya ya mahakama kuu ambayo kilele cha siku hiyo itakuwa February 01.2021 ambapo mgeni